CORRECT LYRICS

Lyrics : Number One

(Ayo Lizer)
(Zest is on this beat Ladies and gentlemen)

Macho yalikuona, moyo ukakuchagua
Mdomo ukasema nakupenda aah
Mwambie umepona alokutesa moyo kuusumbua
Maumivu yamekwenda

Mi ni zawadi nilopewa
Macho nipepese wapi
Mi kipofu kwako sioni
Penzi limetaratadi, napepewa
Harufu ya marashirashi
Nikitouch touch shingoni

Uvae baibui khanga
Viatu vya kuchuchumia kangaroo
Kisima tui tanga
We huba nifukizia pambe tu

Ukizungushia shanga
Inashuka inapanda chini juu
Nishatafuna karanga
Sasa chumba ndo kiwanda watoto tu (iyee iyee)