CORRECT LYRICS

Lyrics : Mtasubiri

Eti amina, dua zimeitikiwa
Ashtuti nije kupa mali yako
Ooh fanya hima, mwenzako nimezidiwa
Mahututi nasubiri tiba yako
Na nisipo kuona, na raha nakosa
Situlii mpaka unikumbate darling
Ooh kiranga chote mi koma, ukianza dear
Shughuri kwisha yangu habari

Eti unanipenda mi (Mmnh)
Unanitaka pia (Mmnh)
Unaniamini (Mmnh)
Na umeniridhia
Oh unanipenda mimi (Mmnh)
Unanitaka pia (Mmnh)
Unaniamini (Mmnh)
Na umeniridhia

Mtasubiri sana, mtasubiri (Oh mtangoja)
Mtasubiri sana, mtasubiri
Wanasubiri tuachane
Mtasubiri sana mtasubiri (Oh, vuten kiti mkae)
Mtasubiri sana, mtasubiri
Oh baby mi mwenzako njiwa wakufugwa
Oh baby vya chakuchaku vitanifuja
Oh baby mie wa pwani mzawa wa unguja
Oh baby penzi laini sitoi buja
Na moyo nishaweka kwako nanga
Wanajisumbua kukesha kwa waganga
Na presha zitaqwashuka na kupanda
Tena deka we shaukwa baby tamba

Eti unanipenda mi (Mmnh)
Unanitaka pia (Mmnh)
Unaniamini (Mmnh)
Na umeniridhia
Unanipenda mimi (Mmnh)
Unanitaka pia (Mmnh)
Unaniamini (Mmnh)
Na umeniridhia

Mtasubiri sana, mtasubiri (Oh mtangoja)
Mtasubiri sana, mtasubiri (Oh)
Wanasubiri tuachane
Mtasubiri sana mtasubiri
Mtasubiri sana, mtasubiri
Wanasema eti umeniroga
Ni kweli ila inawahusu nini
Hunipendi ila unanichuna
Ni kweli ila inawahusu nini
Eti wanasema wewe ni kicheche
Ni kweli ila inawahusu nini
Utanichezea kеsho uniache
Ni kweli ila inawahusu nini