CORRIGER LES PAROLES

Paroles : Bambika

(Motif di Don)
Cheki, ati, eh

Rada safi, yaani basi
Bambi-bambika
Na juu sijali, ni wazi
Mi nishabambi-bambika

Ati, ati, ati?bambi-bambika,?ka
Bambi-bambika
Ati bambi-bambika, ka
Bambi-bambika,?eh
Tuko na Mola, tunajiachilia leo
Bahati, Ethic,?iwafikie leo
Bambi-bambika, ka
Bambi-bambika
Ati bambi-bambika, ka
Bambi-bambika, eh

Karibu kwa hii party leo
Tunauza?imani?bila?money leo
Ametutoa mbali?huyo
Uliza hata Swat,?hatuwachi leo

Niko chupri, niko chupri kwa pori
Mboka lazima itachapwa, si-worry
Kwa dimanga siwezi rudi, ni ngori
Cheda sakwa, uza meda, sichoki
Na kachoki ni kakonki, katoti
Kaa ni babi amedai, atacheza
Kaa ni gwangi, ni lazima achezewe
Pewa, pewa, sasuliwa, perembwa

Bambi-bambika, ka
Bambi-bambika
Ati bambi-bambika, ka
Bambi-bambika, eh
Tuko na Mola, tunajiachilia leo
Bahati, Ethic, iwafikie leo
Ati, ati, ati bambi-bambika, ka
Bambi-bambika

Nimcheki na Konyagi kukanyagia
Kamcheki na Konyagi kukanyonga
Buda, kukacheki muda, kaka fisia
Eh, juzi, Suzie akamkazia
Eh, kaa ni pedi, niekee tatu, nitakupata
Kaa ni lady, heri pesa kwa kibanda
Nieke dredi, nizipande fertilizer
Tukimedi kwa kinganya tukikata

Kaa ni mboka, bana, sitakaokota
No kimbelembele, usi-turn kukaokota
Kaa ni family, nadai son, daughter
Round-ia stick tatu tatu kaa mbota
Penda starehe, saa utare
Huwezi bargain starehe
Pumwani data hapo kando ya Starehe, mi born Starehe
Sin huwa si liquor, kam kusele

Rada safi, yaani basi
Bambi-bambika
Na juu sijali, ni wazi
Mi nishabambi-bambika

Ati, ati, ati bambi-bambika, ka
Bambi-bambika
Ati bambi-bambika, ka
Bambi-bambika, eh
Tuko na Mola, tunajiachilia leo
Bahati, Ethic, iwafikie leo

Everybody, leo, Mungu wa redio ni leo
Leo, collabo of the year ni leo
Leo, Mungu wa redio ni leo
Leo, collabo of the year ni leo
-Ka, ati, ati, ati bambi-bambika