CORRECT LYRICS

Lyrics : Teamo

Mmmh, Namshukuru Mola kanijalia
Mrembo wa sura hadi tabia
Nina kila sababu ya kujivunia iyee
Yaani kila kona umetimia
Napenda manukato ukinukia
Ukinigusa ndo nazimia iyee

Yaani kama ndege na wanae
Tuogelee na tupae
Kwenye kiota tukakae mi nawe
Uje nikubebe washangae
Wenye uchungu wakazae
Tukicheza kuche kuche
Nahodha eh mi nawe

Una guu la beer wala huna fito
Chuchu zako hunitoa majicho
Hata uvae gunia bado uko simple
Unapendeza

Shepu sinia, kiuno kijiko
Chumbani wanipa madiko diko
Ukifungua Coke yaani ni mafuriko
Umeniweza

Ooh my baby Teamo
Teamo
Ooh my baby Teamo
Teamo

[Messias Maricoa]











Ooh my baby Teamo
Teamo
Ooh my baby Teamo
Teamo


Utamu wa asali
Najilamba lamba tu
Nakukupoteza mi sidhani(Aaah)
Twende Zanzibari
Kwenye marashi ya karafuu
Tukale na pweza forodhani(Aaah)

Yaani kama ndege na wanae
Tuogelee na tupae
Kwenye kiota tukakae mi nawe
Uje nikubebe washangae
Wenye uchungu wakazae
Tukicheza kuche kuche
Nahodha eh mi nawe
Ooh my baby Teamo
Teamo
Ooh my baby Teamo
Teamo